04 December 2013

JK AMTEUA DKT. MIGIRO BUNGE



Na Mwandishi Wetu

Rais Jakaya Kikwete, amemutea Dkt. Asha-Rose Migiro, kuwa mbunge wa kuteuliwa.Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi, Dkt. Florens Turuka, ilisema uteuzi huo umeanza jana.
Kwa sasa Dkt. Migiro ni Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Idara ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Pia amewahi kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), baada ya kuteuliwa na Katibu Mkuu wa Umoja uo, Bw. Ban Ki-Moon, Januari 2007 hadi 2012.

1 comment:

  1. Sweetness and virtue.

    Sweet and tender
    delight, I see
    your profile
    walking alone
    where a candour
    returns and the
    wind's intuition
    appears near
    a shade...

    Francesco Sinibaldi

    ReplyDelete